KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 16 January 2013

THE NDAFU IS HERE ..AT SISTA MARIA CARITAS LYIMO MIAKA 25 YA UTAWA "AISEE BILA HII KITU KWENYE PARTY ZA UCHAGANI NI BUREE" THE DIARY OF FLORA LYIMO FASHION POLICE HOME HOLIDAY 2012/13 .WALIFUNIKAJE KIJIJINI KWAO MOSHI KILEMA KILIMANJARO!!

 All for you our Lovely Big SISTA!! WE LOVE YOU MORE THAN ANYTHING AND THANKS FOR YOUR PRAYERS KWA FAMILIA YOTE YA LYIMO'S AND NA WENGINE WOTEE  !!

Mbege ndo hiyoooo..yapelekewa Wazee kwanza You know ,Uchagani Wazee Muhim "




 My Lil Sis ..kama sie yeye aisee sijui ingekuwaje ..yani yeye ndo alikuwa anapokea kila kitu " na kufanya all the booking " I love you so Much !!
 Machalari Aisee yani ni lazimaaaa!!

 Cake ya unga kikanisa zaidi...picha yasema yote jamani"na ilikuwa tamuu"










Sista Nawa mikono wacha kushangaa Ndafu itakimbia" Mbuta Nanga"





 Kaka wa Pili mkubwa Wa kina Lyimo alikuwa na kazi kweli kweli ya kubeba Mambege ,kuongea and Kila kitu ,,I love you so much My Kaka !!









 Ndafu Ndafu hiyoo,Ndafu Ndafu hiyo Ndafuuuuuuuuuuu!!


 NDAFU IMEIVAA 'HAIJAIVAA",,IMEIVAA LETA TUILEE!!

Sista na Kaka yake ambae ndo aliyemfuata"yani toka niingie ,mbuta nanga""Hongera sana Dada " Tunamshukuru Mungu kwa kuweza kutupitishia Baraka za hapa Nyumbani kwa kupitia kwao,sisi Ndugu zako wote na Wanakijiji na hata wananchi We are so Proud of You and nyie masista wote..Jamani kaka yangu huyo anajua Speech ..si mchezo" hayupo Mwenyekiti wa Kijiji for nothing ,,ee" Bless yeye Always" Jamani Video inakuja ili mjionee namna ya kuichoma Ndafu na Mengine mengi mpango mzima wa Shughuli hii ilomtoa Flora Lyimo Fashion Police .Ulaya hadi Kijijini kwao Kilema"


 Pombe za kuchangachanganyaaa....Aika mbee"
Lazima nionjee .jamani Ndafu tamuuuu....uwii I miss it big time!! You know my dears hakuna kizuri kama kujua kwenu na kujua una kwenu na kujivunia kwenu " so I so proud of  me kuweza kuwajengea my Kakas na vile vile kujenga kwetu na kujua tuna nyumba za Bloke zile tulizokuwa tunaringiwa nazo ..Madadas  naomba mjifunze kitu kimoja kutoka kwa Your Flora Lyimo Fashion Police: WAJENGEENI KAKA ZENU AU WASAIDIENI KWA NJIA MOJA AU NYINGINE. Maana ni vijum sana wao kuweza kupata vijiela au hata KUOLEWA" Did i say kuolewa ? Yes..Wao hawaolewi wanaowa na utakapo wajengea Hata wale watakao olewa nao watakuwa nao wamejenga kwao na wewe ukiolewa hiyo inakuwa kama Mabadiliko ya Nyumba(Exchange House) na inakuwa powa sana" Tusaidie Makakas wetu:ILI PIA KUEPUSHA WIZI,Ujambazi NA UZURURAJI (Hasa Ubakaji) maana kama hana kitu ,amtake nani ?na yeye ni mwanaume lazima anaviungo vyake kamili na vinavyohitaji mapishi" (mwanamke),,Anyway the point is Wewe uje kuolewa kwangu na mimi nitaolewa kwako au kwao "ukute kuna Nyumba" Habari ndo hiyo nawe toa maoni yako"God bless and tuzingatieni Uwekezaji Home " Tuijenge Tanzania yetu pamoja tunayoyaona hapa Ulaya Majuu na tuyaige na kuyapeleka Kwetu" Ruwa Mangi " I wish one day nitaamka na kuikuta Moshi ikiwa kama Ulaya" London " you know Mji wa wasafi .Hebu nenda pale Moshi Mjini utupe takataka la aina yoyote uone cha kumtoa Masikini elfu hamsini!!! Mbuta Nanga"
Mama Maria Mtakatifu Utuombee kwa mwanao Mpenzi"
 
Karibuni tena jamani more photos to come na habari moto moto Msikosee" Much Love FLFP" WhtasApp +44 7787471024.
FOUNDER"

4 comments:

  1. chamechenyi mbeee..dhaa.hiyo misosi ni nomaaaa...flora siamini hapo ni kijijini kwenu na siyo mujini kweli mambo yako si mchezo mungu azidi kukubariki uwe na upendo ulonao tunakupenda sana dada yetu wa mkopo express"

    ReplyDelete
  2. In case you�re having issues locating the powdered coloring,
    you will find them about tattoo-supply internet sites.
    Further, if you aren't comfortable with the breast pump that you have chosen, you can always consult your doctor to change it. For example, set up a rule that it is okay to drink water in the living room, but juice and milk must be consumed in the kitchen or while sitting at a table.

    Feel free to surf to my web-site - binh sua

    ReplyDelete
  3. It works efficiently and safely to slice open shrink wraps, blister
    packs, carton boxes and plastic strapping. Expect to
    hear a few stories and have a laugh or two while you shop.

    Green issues and environmental concerns continue to influence the giftware and houseware
    market.

    my site - do gia dung

    ReplyDelete
  4. safiiiiiii sana Flora Lyimo wa Kilema Moshi...Hilo nalo neno...Tulioko Ulaya tuache kuuza sura...tujenge nyumbani...tusaidie familia nyumbani..ohoooo!!!ni Baraka atiiii...Hilo nakuunga mkono na mguuu pia...good job dada Lyimo.

    ReplyDelete